Mariolojia ya Kikatoliki inategemea Biblia ya Kikristo pamoja na Mapokeo ya Mitume yanayojitokeza hasa katika maandishi ya Mababu wa Kanisa wa Mashariki na wa Magharibi. Hayo yote yaliongoza Mapapa na maaskofu wenzao wa Kanisa Katoliki kutangaza hasa dogma nne kuhusu Bikira Maria.
Mafundisho makuu hayo ni lazima kila Mkatoliki ayasadiki kutokana na ufunuo wa Mungu:
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search